Ijumaa, 19 Agosti 2022

MWANA MTULE

Wadau Naangua kicheko maana nimemkuta Gwiji kama Gwiji daaah wakenya hapa kuna hadithi Au niseme simulizi...... Alpha Mwana Mtule 
MAKOSHAAA..ACHA JITU AANGALIE KANDO 
AKAPATA KUA KUNA JAMAA ANAMSUMBUA MANZI WA KIGAIDI 
AMINI USIAMINI ALICHO FANYIWA JAMA WETU PRRRRR 🤣🤣

SIO HAKI PRRR 🤣🤣.

Click the link bellow 👇🏿

https://youtu.be/v1dbSnSqQ-Y

Alhamisi, 18 Agosti 2022

Uhondo

Wapo ma Emcee wengi tanzania Au watangazaji wa Redioni au runinga Ila Alivo barikiwa huyu Bwana" @mc Gara B Daah kweli mkali wao..... Huyu ni miongoni mwa watanzania ambao wanatajwa wakatii ma supa sta wanai orodheshwa maana ni mpambee tena ana Sauti ya kuvutia.... Mtizame kwenye Kipindi cha Mr right tanzania.

Sanaa

Endapo uta taja jina Nana Owitti ni mmoja wapo wakina Dada wanao tamba kwenye social media kwa ustaraabu sanaa Mtangazaji kwenye runinga ya Switch media kenya(switchtv). Owitti Ni mkewe King'Kaka Msaani tena Afisa mkuu mtendaji Kwenye Record lebel (Kaka Empire)..Ameweza kuonyesha Uwezo wake wa Kimitindo na Ulimbwende Na  mbali na hayo Anajivunia kuwa Media personality  ambayo Hana  scandals .... 

AbraBino Mondragon Mapenzini na Corazon

Abra Bino Ukipenda mwite MonDragon Ke Ni msaani wa Nyimbo za Swahili Tena Za kimahaba tena Za kisasa .
Mwezi jana alitrendi na nyimbo yake (corazon) Ambaye nyimbo hiyo amemshrikisha corazon kwamboka aliye kuwa mpeziye Frank justjimIt..Alueza kwa undani sababu ya kufanya hio kazi kwa wakati huo maana Anammezea mate toka kitambo mrembo huyo

MUACHE KUNIA BUDU MIMI SIO YESU

ROBERT POWELL MUIGIZAJI WA FILAMU YA YESU AMEWAAMBIA WAKRISTO   "MIMI SIYO YESU, ACHENI KUNIABUDU"  Mwigizaji Robert P...