Jumapili, 28 Agosti 2022

CORAZON AQUINO PISI KALI KUMBE

Corazo aquino Mkenya mwana dada ambaye yupo kwenye kabumbu Ameposti picha zake akiwa  mitaani. Yavutia ajabu

Jumamosi, 27 Agosti 2022

Marioo Atisha Na Swagg Ya Dolce&Gabbana

Ni Bwana Omari Mwanga Ukopenda Marioo ametajwa sanaa kwenye midomo ya mashabiki wa muziki ya Kisasa Au Bongo+Afro fusion Na Kwenye Mistari zake yamekuwa ya Kutoa nyoka pangoni

Mapenzi Ya Corazon Yamweka MonDragon Kwenye Dhiki

Msaani MonDragon Ke  Apotea baada ya kukutana na Corazon kwamboka ambaye inasemakana wapo kwenye mahusiano... Haya yana jiri baada ya meneja wa msaani huyo ku thibitisha kwenye Mahojiano kwa laini ya Simu Usiku wakuamkia jana  kuwa Wamekwisha ripoti na kuandikisha ripoti polisi msako ukianza leo Maajira za Saa Nane  leo hii..... 

ALIFARIKI BAADA YA KUABIRIRI NDEGE KUJA NCHINI KENYA KUTOKA UGHAIBUNI

Abiria huyo mwenye umri wa miaka 66, alikuwa ameabiri ndege iliyokuwa safarini kuelekea Nairobi ikitokea New York nchini Marekani.

Jumanne, 23 Agosti 2022

UREMBO WA KYALO

Wanangu Bwana huku kuna Mapyaa endapo wakti ulikupita leo hii tuna simamisha lisaa Ili Udandienasi twende kama wana mgambo... Haya Hii ndio familia inayo tesa kwenye mitandao Ni madada ila mmoja Ni maarufu sana Anakwenda kwa jina La Betty kyalo(chalo) Duuu mafisi Emu mate ikomee

EDDY KENZO

Hurstler presidente banangee
Sityalosi 

Jumapili, 21 Agosti 2022

OTILE BROWN

msaani wa rnb na Afro pop nchini kenya otile brown kwenye ziara zake za muziki na Biashara... Huku akiweka caption kuwa Biashara haifanywi na Mmoja...... 
Hii inatokea baada msaani huyu kuweka kwenye mitandao zoara zake za kimarejani ambayo ina subiriwa kwa sanaa.... 

Ijumaa, 19 Agosti 2022

MWANA MTULE

Wadau Naangua kicheko maana nimemkuta Gwiji kama Gwiji daaah wakenya hapa kuna hadithi Au niseme simulizi...... Alpha Mwana Mtule 
MAKOSHAAA..ACHA JITU AANGALIE KANDO 
AKAPATA KUA KUNA JAMAA ANAMSUMBUA MANZI WA KIGAIDI 
AMINI USIAMINI ALICHO FANYIWA JAMA WETU PRRRRR 🤣🤣

SIO HAKI PRRR 🤣🤣.

Click the link bellow 👇🏿

https://youtu.be/v1dbSnSqQ-Y

Alhamisi, 18 Agosti 2022

Uhondo

Wapo ma Emcee wengi tanzania Au watangazaji wa Redioni au runinga Ila Alivo barikiwa huyu Bwana" @mc Gara B Daah kweli mkali wao..... Huyu ni miongoni mwa watanzania ambao wanatajwa wakatii ma supa sta wanai orodheshwa maana ni mpambee tena ana Sauti ya kuvutia.... Mtizame kwenye Kipindi cha Mr right tanzania.

Sanaa

Endapo uta taja jina Nana Owitti ni mmoja wapo wakina Dada wanao tamba kwenye social media kwa ustaraabu sanaa Mtangazaji kwenye runinga ya Switch media kenya(switchtv). Owitti Ni mkewe King'Kaka Msaani tena Afisa mkuu mtendaji Kwenye Record lebel (Kaka Empire)..Ameweza kuonyesha Uwezo wake wa Kimitindo na Ulimbwende Na  mbali na hayo Anajivunia kuwa Media personality  ambayo Hana  scandals .... 

AbraBino Mondragon Mapenzini na Corazon

Abra Bino Ukipenda mwite MonDragon Ke Ni msaani wa Nyimbo za Swahili Tena Za kimahaba tena Za kisasa .
Mwezi jana alitrendi na nyimbo yake (corazon) Ambaye nyimbo hiyo amemshrikisha corazon kwamboka aliye kuwa mpeziye Frank justjimIt..Alueza kwa undani sababu ya kufanya hio kazi kwa wakati huo maana Anammezea mate toka kitambo mrembo huyo

MUACHE KUNIA BUDU MIMI SIO YESU

ROBERT POWELL MUIGIZAJI WA FILAMU YA YESU AMEWAAMBIA WAKRISTO   "MIMI SIYO YESU, ACHENI KUNIABUDU"  Mwigizaji Robert P...